K A G O P O I N T .

info@kagopoint.com Mwananyamala, DSM. 0686 255811

We make it easly and possible

Smart Cargo Management
for Tanzanian
Logistics Companies

KAGOPOINT ni mfumo wa Akilikubwa Digital Agency iliyo chini ya Akilikubwa Co. Ltd unaowezesha kampuni za usafirishaji wa mizigo kusimamia taarifa, wateja, mapato na matawi yao kwa urahisi na kwa wakati mmoja.

Create Account Login Now

We make it easly and possible

Smart Cargo Management
for Tanzanian
Logistics Companies

KAGOPOINT ni mfumo wa Akilikubwa Digital Agency iliyo chini ya Akilikubwa Co. Ltd unaowezesha kampuni za usafirishaji wa mizigo kusimamia taarifa, wateja, mapato na matawi yao kwa urahisi na kwa wakati mmoja.

Create Account Login Now
About Kagopoint

Smart Cargo Management for Tanzanian Logistics Companies

KAGOPOINT ni mfumo wa kidigitali uliotengenezwa na Akilikubwa Digital Agency iliyo chini ya Akilikubwa Company Limited kwa ajili ya kuimarisha utendaji wa kampuni za usafirishaji wa mizigo nchini Tanzania. Kupitia mfumo huu, kampuni zinaweza:

  • Kupokea mizigo na kurekodi taarifa kwa usahihi
  • Kutengeneza na kuhifadhi database ya wateja wao
  • Kusimamia matawi na wafanyakazi
  • Kupata taarifa za mapato kwa haraka (daily, weekly, monthly)
  • Kusimamia shughuli nyingi kwa wakati mmoja bila makaratasi

Kusudi kuu la KAGOPOINT ni kuongeza uhakika, uwazi, kasi na ufanisi kwa kampuni zote za kusafirisha mizigo.

Quick Value Highlights

Manage Cargo Effortlessly

Pokea na kurekodi mizigo yote inayoingia na kutoka. pata report kamili ya mizigo husika

Real Time Messaging

Tuma ujumbe wakupokea mzigo kwamteja au taarifa za huduma zako kirahisi na haraka.

Customer Database

Tengeneza na hifadhi taarifa zote za wafanyabiashara wanaotumia huduma yako.

Track Revenue

Fatilia na fahamu mapato yanayoingia kila siku, kila tawi, na kila mzigo.

Multi-Branch Access

Tengeneza matawi zaidi ya moja, weka wafanyakazi, na simamia shughuli zote kutoka sehemu moja.

Role Based Account

Tengeneza Account za wafanyakazi kulingana na majukumu na nafasi zao

Services

The Services we provide

Kusudi kuu la KAGOPOINT ni kuongeza uhakika, uwazi, kasi na ufanisi kwa kampuni zote za kusafirisha mizigo.

Cargo Reception & Recording

Rekodi taarifa zote za mizigo: mzigo unakotoka, unakoelekea, mtumaji, mpokeaji, gharama, na status.

Customer Database Management

Hifadhi na simamia taarifa za wafanyabiashara wanaotumia kampuni yako kila siku.

Multi-Branch Management

Unda matawi, weka wafanyakazi, na fatilia kazi zao ndani ya mfumo mmoja.

Revenue Tracking & Reporting

Angalia mapato yanayotokana na kila mzigo, kila tawi, na kipindi chochote.

Staff Access & Permissions

Weka roles mbalimbali: Super manager, branch manager, Normal staffs, etc.

Secure Cloud Storage

Data zako zote zinahifadhiwa salama na unaweza kuzipata muda wowote.

Ask us more about our services click here
Meet All Members

Team Members

We have great Team in Tech, finance, management and other workers

Testimonial

What People and Clients
Think About Us?

About Akilikubwa Co. Ltd

Smart Cargo Management for Tanzanian Logistics Companies

Akilikubwa Digital Agency ni Sub-company iliyo chini ya Akilikubwa Company Limited iliyowekeza zaidi kwenye teknolojia kwa kujikita kwenye kutengeneza mifumo ya kidigitali, mobile Apps, Website, automation, AI solutions, na software za kusaidia biashara kufanya kazi kwa ufanisi zaidi.

For Call: 0659 598897

For Call: 0686 255811

For Call: 0614 928525

Join For Free Now

    Kusudi kuu la KAGOPOINT ni kuongeza uhakika, uwazi, kasi na ufanisi kwa kampuni zote za kusafirisha mizigo.

    KAGOPOINT ni moja ya mifumo yetu iliyotengenezwa maalumu kwa sekta ya usafirishaji wa mizigo.